Mara nyingi msichana anapovunja ungo ama tayari kuwa katika mahusiano, hutarajia ampate mtu ambaye hajaoa ili wafunge pingu za maisha. Hata hivyo kuna wale ambao huishia kuchumbiwa zaidi na mabwana wa wenyewe. Je, ni kipi ambacho huchangia zaidi msichana kukumbana na wanaume walio katika ndoa? Ni yeye anayejitangaza kwao ama ni ukosefu wa maadili kwa wanaume walio katika ndoa kutaka kuwa na wapenzi wengi? Vijana na washauri wanatoa hoja zao.
view more