Katika podcast hii ya tatu tunamaliza mkazo wetu juu ya Huduma ya Vijana na kusikia kutoka kwa Ndugu Abraham Stanslaus kuhusu kuwafikia vijana wasiookoka. Haitoshi kuandaa huduma nzuri kanisani na kukaribisha vijana. Ni juu yetu kutafuta vijana wanaohitaji habari njema na kuwapelekea Injili popote walipo. Kwa njia gani? Kiongozi huyu anatushirikisha vile wanavyofanya kanisani kwao.
Create your
podcast in
minutes
It is Free